Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,179
- 6,210
Structure ya uchumi ambao tunao sasa architect ni Rais benjamini William mkapa ni wazi mwaka huu mwaka 2025 tunatimiza miaka 30 tokea hii structure iweze kuwekwa kwenye utekelezaji., Tunafahamu kuwa haya mbadiliko yalianza mwaka 1995
Structure ya uchumi wa Tanzania una-mambo yafuatayo;-
Structure ya uchumi wa Tanzania una-mambo yafuatayo;-
- Uchumi hauko connected na watu walio wengi bali na watu wachache sana
- Watu wanategemea informal sector kama kujikwamua mfano bodaboda, mama ntilie, uwinga, n.k vibarua ambavyo wanalipwa starvation wages
- Hauzalishi ajira ambazo ni rasmi, moja ya weakness ya structure ni kutokuweza kuzalisha ajira rasmi nikimaanisha full time job na part time job.
- Fedha nyingi zinazotumika kwenye miradi zinalipwa makampuni ya nje kwa hiyo hakuna Multiplier effects kubwa ndani ya nchi,. Mfano miradi mingi ya ujenzi ambayo fedha nyingi inatumika wanafanya makampuni ya nje ya nchi
- Yes uchumi unakua kwenye makaratasi ila hauna uhalisia kwenye maisha ya walio wengi sababu walioshika uchumi ni foreigner na wahindi/warabu ambao ni kwa asilimia kubwa ni passenger, na sasa hivi wamekuja wachina na wao pia ni passenger na WAMEIFANYA TANZANIA KAMA SEHEMU YA KUVUNIA MALI/UTAJIRI KAMA ILIVYO MAJIMBO YA KUSINI MWA MAREKANI KABLA YA CIVIL WAR, na hii pia inaonekana kwenye uchimbaji wa madini kwani makampuni mengi yanachimba madini hapa Tanzania na hayaongezewi thamani hapa Tanzania
- Watumiaji wa bank ni wachache
- Watu wanaolipa income tax ni wachache sana sababu wengi wanajihushisha na informal sector
- Hauzalishi bali unategemea bidhaa kutoka nje matokeo yake vipato vya watu havikui
- Mipango miji haitiliwi maanani kabisa