Official_Seifu
Member
- Mar 11, 2022
- 14
- 15
Mitandaoni kila mtu anaingia na Lengo lake, Kuna Ambae anaingia Kwa Lengo la Burudani, Kuna Anaeungia kwa Lengo la Biashara na kutafuta Michongo.
Ila makundi yote hayo ya wanaotumia Mitandao Ya kijamii wanataka Kupata Likes nyingi na comments za kutosha.
Mtu anaenda Hadi Photoshoots Kupiga Picha Ya tsh 10000, ana pata Like 30.
Mitandao kwa sasa ni Kitu Chenye nguvu sana, Hasa kwenye Kutafuta Pesa, Na Masoko ya Biashara.
Kama unapata kuwa maarufu Basi uwezekano wa kuuaga umasikini ni Asilimia 99%.
Changamoto ni kuwa maarufu sasa.
Ukweli ni kwamba itakuchukua Muda na Gharama za Kutosha ili kupata Huo umaarufu.
Huwezi kuwa Maarufu Kwa kupost picha Za Uchi sababu hizo zipo nyingi Sana Mtandaoni.
Unatakiwa Ufanye kitu ambacho watu Watakulipa Baadae,.
Maana Ya Pesa ni Kufanya kitu Ambacho watu watakuwa Tayari kukulipa.
Inaweza kuwa Kuuza, Kufundisha, Kuelimisha, au Kuburudisha.
Ila yote hayo hayatokei kwa Kubahatisha, au kwa Wakati Mfupi.
MAFANIKIO NI MCHANGANYIKO WA MUDA, GHARAMA NA SUBIRA
Ila makundi yote hayo ya wanaotumia Mitandao Ya kijamii wanataka Kupata Likes nyingi na comments za kutosha.
Mtu anaenda Hadi Photoshoots Kupiga Picha Ya tsh 10000, ana pata Like 30.
Mitandao kwa sasa ni Kitu Chenye nguvu sana, Hasa kwenye Kutafuta Pesa, Na Masoko ya Biashara.
Kama unapata kuwa maarufu Basi uwezekano wa kuuaga umasikini ni Asilimia 99%.
Changamoto ni kuwa maarufu sasa.
Ukweli ni kwamba itakuchukua Muda na Gharama za Kutosha ili kupata Huo umaarufu.
Huwezi kuwa Maarufu Kwa kupost picha Za Uchi sababu hizo zipo nyingi Sana Mtandaoni.
Unatakiwa Ufanye kitu ambacho watu Watakulipa Baadae,.
Maana Ya Pesa ni Kufanya kitu Ambacho watu watakuwa Tayari kukulipa.
Inaweza kuwa Kuuza, Kufundisha, Kuelimisha, au Kuburudisha.
Ila yote hayo hayatokei kwa Kubahatisha, au kwa Wakati Mfupi.
MAFANIKIO NI MCHANGANYIKO WA MUDA, GHARAMA NA SUBIRA