Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Usiondoke bana, sikusemi tenaUongo ndio
Au niondokee
Usiondoke bana, sikusemi tenaUongo ndio
Au niondokee
Ahahahhh kiben 10 changu mie young dar es salaam wa kwangu mie shunieMida bado,hapa ndio kwanza naosha vyombo nipike
Ahahahhh kiben 10 changu mie young dar es salaam wa kwangu mie shunie
yani ben 5 kabisa
Nimekutana nae huko kwenye zi mmu anasema na yeye siku atamfungukia mdada na kumfungulia thread nimepita kimya tuAiseee
Mwifwa yuko wapi
Mbona nimekuja sasa kimyaNataka nimpe kitu
Me nimekupm inagoma nini tenaMbona inagomaaa
Nimecheka sana![]()
siku mojamoja unakuta nachambua tembele, mpaka nikimaliza saa tano
Aisee, Mwifwa huyuhuyuNimekutana nae huko kwenye zi mmu anasema na yeye siku atamfungukia mdada na kumfungulia thread nimepita kimya tu

Ahahh kiben10 cha shunie oyeeeDaaah
Ahahahhh ndio umzoee tuYani acha tu, sakayo nampenda sema tu yeye sometimes kivuruge
Mmh usinifanyie hivyo jaman![]()
ndiyo basi tena
Khaaa aliyekwambia kakudanganya mbona ingekuwa hivyo na gundu nililokuwa nalo na mathread ningeshafunguliwa miye ya kukulwaWewe tena nasikia ndio expert
KweliiiiUongo!?![]()
Uongo ndio
Au niondokee
Babe umeongea kwa upoleUsiondoke bana, sikusemi tena
Itabidi tuAhahahhh ndio umzoee tu
Ahahahhh kupatwa kwa shunie nilivyokua na vita navyo viben10 siamini mie![]()
![]()
![]()
yani ben 5 kabisa
Sasa wewe unasahauje venueMmh usinifanyie hivyo jaman
Kwani huko Pm watu wanakulanaKhaaa aliyekwambia kakudanganya mbona ingekuwa hivyo na gundu nililokuwa nalo na mathread ningeshafunguliwa miye ya kukulwa