Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Naanzaje kumjibu mie ananijua slimUsimjibu
Naanzaje kumjibu mie ananijua slimUsimjibu
Yamekuwa hayo tenaSawa bana. Ushauri tu, kuanzia leo utafute kijiwe kingine cha kula Mapupu na bandama!



Nitakupa babe ushindwe wewe tu![]()
![]()
yani hapo ndipo unaponimaliza
AhahahhaSakayo wivu unamsumbua tu.
Wala sitaki kusikia uko seriousNiko serious
Usijifikirie wewe tu, fikiria na sisi unatuachaje sakayo, binafsi siafiki wazo lako.Seriously Shunie
Natamani utulivu wa akili... Usijesema sijakuaga
Nikuje dar au lushoto hunie!!!!Jaman nilijua utaniambia na kuja utakuja
Mimi sijawahi kukosea mkuu,hata shunie pia analijua hilo.Ila jamaa unajua kuchagua...
AsanteSakayo wivu unamsumbua tu.
NdiwooooAhahha halaf mida yake sa 4 hivi au 4 kasoro nakumbuka ule msemo wako mwanzo ulikua unamuona mzee wa busara
PoaNaanzaje kumjibu mie ananijua slim
OkayWala sitaki kusikia uko serious
ShemUsijifikirie wewe tu, fikiria na sisi unatuachaje sakayo, binafsi siafiki wazo lako.
Nimewabamba! kumbe mlikuwa mnanitetaee... kwahiyo sasa hivi sio mzee wa busara tena.Ahahha halaf mida yake sa 4 hivi au 4 kasoro nakumbuka ule msemo wako mwanzo ulikua unamuona mzee wa busara
Alikuwa kavaa miwani ya mwanga usikuHujaona ujumbe wangu au
We ndo mwenyeweeeNimewabamba! kumbe mlikuwa mnanitetaee... kwahiyo sasa hivi sio mzee wa busara tena.
BirthdayNikuje dar au lushoto hunie!!!!
party itafanyika Saadani,Pangani.Hili ni sahihi kabisa...