Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kwani yeye kakutema kivipi??Hahaha mkuu kivipi?
Kwani yeye kakutema kivipi??Hahaha mkuu kivipi?
Nakuona na uchoyo wakoTwende tukale mapupu
Thijambo Linamo
Ukianza kumumeza nitag jiraniPole mwaya,
Na wewe mteme
TehHaha
Mumeo huyoooo
Sawa cuzoo ebu twendeTwende tukale mapupu
He he utamu wangu acha uliwe tuKulaneni tuu shem..
Manake kwenye msiba wa kanumba kuna mama alikuwa analia..
"Steve umekufa na utamu wako kama muwa...wale wabinti wote hukuzalisha hata mmoja"
Hayo hayoYale ya ng'ombe shunnie anayajua
Hili nitamsaidia mdogo wangu, Ben ten hapana





ndio mana nakupenda nianze kubanana na janjaro kweli jamani
Tumeshafika jamaniMshakuwa wanasiasa! Tangu mseme mnakuja, hata kama kande zingeshaiva!
Teh ebu ngoja niyashike hapa huwa nayapenda
We ingia tu utajua mbele kwa mbele acha kuulizaAisee hivi huku kuna nini eti mwifwa
Pole mkuu kwa ujane ndio ujitahidi umtamtufie mama mwingineKanitema mkuu
We unawaza kula tu, kula lile pera JiraniUkianza kumumeza nitag jirani
Mbavu zangu mieeeeTeh
Kupatwa kwa shunie
ndio mana nakupenda nianze kubanana na janjaro kweli jamani
Jaman jaman ahahahhh yaan sipati picha sijui nani atatangulia mbele![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na uzee huuu unampeleka wapi