Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
He heUsiseme kwa sauti! Wenye Chuki mpk humu wamo!
He heUsiseme kwa sauti! Wenye Chuki mpk humu wamo!
Ahahahhhh we mwehuIna maana hamjuani au
Siyajui hayo mieHamna
Unamquote mtu wa mwisho kwa kuanza sentensi na neno la mwisho
Mkuu huu mchezo wa kupitiana kuna wakati unaweza "ukaharibu mipangilio ua watu"Jirani ukipitiwa unipitie na mimi jirani
Unajua kile kitu kinaitwa husda? ama pia kuna ile tunaita kijicho?He he
Ila uwe makini usivimbiwe jiraniKwa mromboo ni sheeeda
Wacha nikakule tuu Jirani
Ahaaa.Mie niko makuni ujue, siwezi kula nauli Jirani
Hahahahaaa.Sawa Jirani
Jiandae kula nauli
SawaIla uwe makini usivimbiwe jirani
HahaAhaaa.
Nimekusoma jinsi unavyopangilia bajeti jirani
Hayo mambo ya secondary siyawezi mie mhenga ujueHahahahaaa.
Jirani kula nauli ni raha sana, yaani unaosha jina si mchezo
AhaaaaaJamani wazima humu, mkimuona shunie mwambieni namtafuta
Hivi yale maji niliyokutengea hadi yapoe?Hayo mambo ya secondary siyawezi mie mhenga ujue