Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Mie hata sijawahi kutamani, na hivyo sipendi taabu!!!Umeonaeee mie huwa nawashangaa sana wanapovitumia vile vijiti Ila tukipata mwanga kidogo itatuweka sehemu fulani sio sawa na kuwa washangaaji.

huwa inakuwa tamu balaah