Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Mzima Dear za Kwako?
Una wivu jorani ya dirty head
Mzima wewe
Wivu muhimu sana kwa jirani yangu maana akipata matatizo mie ndio mtu wa kwanza kuja kunielezea

Mzima Dear za Kwako?
Una wivu jorani ya dirty head
Mzima wewe

Sufuria LA supu ndo limenileta humu nashangaa silioni





Rahabu unanifurahishaga sana
Ualimu unauweza? Mana na Mimi kuna kitu nataka nikuombe unifundishe?Ewaaah hapo hutojutia kujifunza kupitia mimi, nitahakikisha umeelewa vyema sana
Jikoholeshe tu.Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho
Sakayo ukuje slim kashakujaMlete huku Sakayo
Usijali ngoja niandae mapokezi ya kukupokea kuja kujisevia Mapupu hadi makongoro
MwifwaKupika kipaji mdogo wangu, nimewaachia wenye vipaji vyao.Hahaaa. Dada wewe ni noma ujue. Duuuh.
Kweli mshkaji wangu ameamua kabisa unafkili nimemzuia auAmeamua mwenyewe kweli?
Unataka ugundue nini labda!!!Nilijaribu kupika tambi pasipo kuzikata kata na kujifunza kula kwa kutumia vijiti viwili (Chinese style)
Nashukuru kwakweli nimekuwa mkufunzi kwenye swala la kutumia vijiti
Ulale unono Mwifwa Yesu akulinde naona leo umeambiwa uwahi kulalaUsiku mwema wote.
Tutaonana tena Mungu akipenda
Safi tuMzima Dear za Kwako?
Wivu muhimu sana kwa jirani yangu maana akipata matatizo mie ndio mtu wa kwanza kuja kunielezea![]()
Hili somo ujue utanifundishaNilijaribu kupika tambi pasipo kuzikata kata na kujifunza kula kwa kutumia vijiti viwili (Chinese style)
Nashukuru kwakweli nimekuwa mkufunzi kwenye swala la kutumia vijiti
Mmh jamanUnajua sana
Tupo wengi ujue tunaotamani kwenye hilo darasa name niwepoHuwa natamani kweli kula kwa kutumia vijiti viwili ujue itabidi nikutafute my dear kwa sababu na mie napenda kujifunza pia.
Kuzipika hazina ugumu waweza zichemsha na maji kidogo na mafuta na chumvi ukazipika kama wali au waweza zichemsha na maji mengi zikiisha kuiva unamwaga maji then unazikaanga na mafuta kidogo japo ya kumwaga maji huwa naona kama virutubisho vinapotea sasa hapo utaangalia wataka kula na kitu gani kama ni roast beef, au nyama ya kusaga uunge vzr umwagie mchanganyiko wako kwenye tambi hiyo ni juu yako mpenzi.Ngoja mimi nianzie hapa. Hiyo na mimi naitamania sana unazipikaje mdada
Hahaaaa. Kweli kabisa dada ila inapobidi unajing'ang'aniza hivyo hivyo tuu.Kupika kipaji mdogo wangu, nimewaachia wenye vipaji vyao.