Mimi nilitegemea yanapotokea matatizo makubwa, hasa kama haya yaliyotokea wizara ya afya waziri angekuwa mstari wa mbele kuona jinsi ya kutatua. Nilishangaa kumwona waziri wa afya anaulizwa na waandishi wa habari kwamba; unategemea kufanya nini kuhusu mgomo unaoendelea; Waziri anajibu huku akichekacheka; "Ni kama Raisi alivyosema".....Hivi kazi ya waziri ni nini? Hivi uwaziri ndio huu?? Anabebewa kazi yake na Raisi? Na mpaka leo sijasikia mchango wowote katika jambo hili kutoka kwa huyu waziri; isipokuwa hali kuendelea kuwa mbaya...au kwa sababu anatoka.............hana uchungu na .......? Mungu tusaidie..