Story yenye funzo: Tayari ameolewa

Hebu some tena uelewe. Wapi nimesema kuwa ni mdogo? Na wala sijamlaumu. Mimi nimeacha mambo yawe kamayalivyo kwa urahisi kabisa. Nimepitia mengi sana najua ninachokifanya. Unadhani hata ningemtambulisha home ndo ingekuwa solution?
Kuna mengi sikuyaweka hapo. No problem so far.
 
 
Jamani Barbarosa, mbona mimi nilifall in love kwako na hakuna maslahi zaid niyapatayo. Burudani yangu ni mapenzi yangu kwako
 
Ni kweli
 
Always mashukuru mungu kwa kila jambo kwa sababu atakukwamisha kwa kitu kimoja ili akupe kilicho bora zaidi
Glory to God
 
Hakuna wa kulaumiwa,
Subiri subiri utakuta mwana si wako,
Na ww Mipango ya maisha hayakwenda vile ulipanga...
Muombee maisha mema ya ndoa, ww tafuta na kuza mwingine, this time na ww usirembe sana
 
Ungemtia mimba tu,hivyo angeenda na mimba yako! Ndoa ingevunjika ndani ya mwaka na angerudi kwako kiulaini!
Hapana, huu si utaratibu mzuri. Nafahamu sana hili lakini haukuwa mpango wangu
 
Mmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…