Mkuu samahani sana. Attachment uliyoweka mbona haifunguki?
Samahan kwa usumbufu kaka ila ni mara yangu ya kwanza kuattach kitu katka jamii forum,kama unaweza nitumie ur mail address il nkutumie ili uweze pia kuattach na wengne waone.samahan kwa usumbuf
Mkuu samahani sana. Attachment uliyoweka mbona haifunguki?
ndugu humu JF kuna watu wanamna nyingi sana kwahiyo kuwa mvumilivu tu..Siwezi kuomba hela kwa mtu yoyote zaidi ya kwa wazaz wangu na ni Internal advertizment ambayo imetolewa huku Buly katka department ya warehouse na hii imetokana na watu kuresign kutokana na kuogopa kufukuzwa kutokana na kashfa walizokua nazo.Naomba uwasliane na Barrick ya Dar na watakusaidia abt hili tangazo na jua kua Tangazo lnaanzia Internal then wasipopata watu wanatangaza katika media.
Nafanya kazi Barrick as an Engineer na yoyote akipgiwa simu na mm kuhusu nimtumie hela naomba aseme wazi.
Nashukuru kwa kundhalilisha kaka
asante kwa taarifa natumaini wenye ukuelewa watazingatia umekuwa mwenye ukarimu ukashare na wengine habari .. naamini mwenye shida atazingatia..Guys,ni tangazo chini wameandka tarehe 12 Aug 2012 ila ni tarehe 12 Aug 2013 na ni kweli wametangaza na kweli deadline ni 12 Aug jaman na mimi siwez kuwadanganya mana nafasi zimetokea baada ya jamaa wengine kuresign due to kashfa za wizi ambazo zilikua znaandama hiyo department
Habari za siku wajumbe,kuna nafasi za kazi zimetokea huku katika mgodi wa Bulyanhulu na ni nafasi 5 za Storeman katika warehouse.Nimeambatanisha na Tangazo.
Nawasilisha
Guys,ni tangazo chini wameandka tarehe 12 Aug 2012 ila ni tarehe 12 Aug 2013 na ni kweli wametangaza na kweli deadline ni 12 Aug jaman na mimi siwez kuwadanganya mana nafasi zimetokea baada ya jamaa wengine kuresign due to kashfa za wizi ambazo zilikua znaandama hiyo department