Stop Zanzibar now or hell ( one government for all Tanzania)

Stop Zanzibar now or hell ( one government for all Tanzania)

Democracy999

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2012
Posts
945
Reaction score
190
Nyerere and Karume's target was to go to one Government slowly, je baada ya matatizo yalioanza ya serikali ya Zanzibar isiyotambulika nje ya mipaka ya Tanzania kuanza kufanya vitendo vya kigaidi na hatari kwa kisingizio kuwa hilo si swala la Muungano, Wandugu wa JF kwanini tusianze sisi kampeni ya kutaka wazo la Nyerere na Karume likamilike? Serikali moja tu nchi nzima!
 
Nyerere and Karume's target was to go to one Government slowly, je baada ya matatizo yalioanza ya serikali ya Zanzibar isiyotambulika nje ya mipaka ya Tanzania kuanza kufanya vitendo vya kigaidi na hatari kwa kisingizio kuwa hilo si swala la Muungano, Wandugu wa JF kwanini tusianze sisi kampeni ya kutaka wazo la Nyerere na Karume likamilike? Serikali moja tu nchi nzima!

Upumbavu wako na upuuzi wako...!!!! Ha..!!! ndio umejikaza kufiria hapo, ama weee ni kilaza cha kutupwa.

Wee unadhani huko Z'bar ya leo ni ile ya Karuke na Nyerere.

Nanukuu kutoka kwa Karume: "Koti likikubana utalivua, maanake huu muungano ni kama koti ukiwakaba watajitoa"

According to Nyerere: "Wazanzibari wakiamua kujitoa ktk muungano sitowapiga mabomu"

Kama huna la kuandika tafuta chupa unywe tuuu, uctuleteee pumba hapa.
 
Mbona unahamaki? Na je una uhakika kuwa Watanganyika walioifuta nchi yao kwa roho safi ya umoja leo waambiwe na Zanzibar kuwa walikuwa koti na sasa hatuwahitaji tena

Upumbavu wako na upuuzi wako...!!!! Ha..!!! ndio umejikaza kufiria hapo, ama weee ni kilaza cha kutupwa.

Wee unadhani huko Z'bar ya leo ni ile ya Karuke na Nyerere.

Nanukuu kutoka kwa Karume: "Koti likikubana utalivua, maanake huu muungano ni kama koti ukiwakaba watajitoa"

According to Nyerere: "Wazanzibari wakiamua kujitoa ktk muungano sitowapiga mabomu"

Kama huna la kuandika tafuta chupa unywe tuuu, uctuleteee pumba hapa.
 
Mbona unahamaki? Na je una uhakika kuwa Watanganyika walioifuta nchi yao kwa roho safi ya umoja leo waambiwe na Zanzibar kuwa walikuwa koti na sasa hatuwahitaji tena

Sidhani kama waliifuta kwa roho safi, na ikiwa kama Watanganyika walifanya hivo bac Nyerere alikosa kufikiri kwa kina na alitenda kosa kubwa sana, kwa7bu bado Watanganyika tunaihitaji Tanganyika na hatuwezi kumfuata Nyerere kila kitu.

Suala la muungano si la kulazimishana, ikiwa Z'bar au Tanganyika mmoja wapo akiukataa bac mwengine hana uwezo wa kumlazimisha, hio ndio tafsiri ya Karume na Nyerere ktk hizo Nukuu zao.

Kwa hio Wazanzibari kwa sasa hatuwezi kuwalazimisha kuendelea kubakia kwenye muungano kwa mtutu wa bunduki.
 
Kwa minajili ya kutunza historia ya uasisi wa mataifa haya mawili Tanganyika na Zanzibar pengine mfumo wa seikali mmoja unahitaji muda zaidi wa kurekebisha kasorro zilizopo kwa sasa kabla ya kudandia meli kubwa ya serikali moja,
 
Nyerere and Karume's target was to go to one Government slowly, je baada ya matatizo yalioanza ya serikali ya Zanzibar isiyotambulika nje ya mipaka ya Tanzania kuanza kufanya vitendo vya kigaidi na hatari kwa kisingizio kuwa hilo si swala la Muungano, Wandugu wa JF kwanini tusianze sisi kampeni ya kutaka wazo la Nyerere na Karume likamilike? Serikali moja tu nchi nzima!

Karume na Nyerere kwako wewe ni nani ? sasa hiyo slowly miaka 50 huoni kama hapo hakuna tena slowly ,usitegemee yai viza kupata kifaranga ,Muungano huu kuelekea huko serikali moja ni viza ,na sasa unataka kuvunjwa au kuzikwa kwani halufu ni mbaya na kumeanza kuwa hakukaliki kwa uoza ,au huusikii !!
 
Duniani kuna nchi 196 zinazotambulika na
Zanzibar si mojawapo. U.N. kuna nchi 193
zinazotambulika na Zanzibar si mojawapo. Afrika
kuna nchi 54 zinazotambulika na Zanzibar si
mojawapo... Find out what i mean...
 
Back
Top Bottom