Stop mijadala kuhusu gesi


Mkuu,

Inaonekana una mengi ya kusema na uliyoona....kama serikali inaendelea kuua raia wake sema. Nimepitia maelezo yako inavyoonekana taarifa tunazopata si kamili. Pls keep records kama kuna mass killings....

Kama wanadiriki kufanya hivi sasa sidhani kama kura wataruhusu zipigwe kwa amani. JK alisha sema hakabidhi nchi kwa wapinzani...ili walishafanya zanzibar and they will attempt to do it in Bara.
 
La udini linapiga jaramba

N'yoo !! eti leo wanajidai kuwajua wa Mtwara, Mulikuwa wapi zamani Tangu enzi za juliasi Mtwara tanga lindi nk. zimesahauliwa na kupuuzwa...!! looh tumetambua wengi mnafurahiya Lakini mnajitia kuhurumia- nyie waongo
mnasubiri muTak advantage tu na muzidi kukandamiza.... U are wll knwon!!
 
 

umetumwa kumkama nani huko?inaonekana mko wengi huko,waambie CCM wajenge power plant Mtwara wasafirishe umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…