Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562
Unamkaribisha mtu kwenye kiti cha plastiki unashangaa anakaa maji yanamwagika waaaaa, kumbe alivaa kigodoro kibichi.Mvua ziishe jamani, tunapata tabu makalio yanakaa kwenye kamba wiki hayakauki.....tunashindwa kutoka 🥹🥹
Kuwa na adabu kijana!!Makalio ya bluu kama jezi ya chelsea
Ni reference tu mkuuKuwa na adabu kijana!!
Mu re mb o
Yatakuwa ya ka Depal nini? Hebu weka na picha tuone jinsi kalivyobaki kimbaumbau!😁😁😄😄Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kitundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562
Nimekununia usiniongeleshe.Mu re mb o
Kwanini isiwe Moro United au Mtibwa SugarMakalio ya bluu kama jezi ya chelsea
Mvua ziishe jamani, tunapata tabu makalio yanakaa kwenye kamba wiki hayakauki.....tunashindwa kutoka 🥹🥹
Basi kama jezi za NMBKwanini isiwe Moro United au Mtibwa Sugar
😅walionuna huwa hawasemagiNimekununia usiniongeleshe.