Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa tu,na nafikiri ndio imeanza sasa hivi,
Naomba mnisaidie kunifahamisha kama hizi stika ni lazima na zinasaidia nini,maana kama mimi Fire extinguisher ninayo na bado haijaexpire na kisa cha mimi kwenda kuilipia polisi ni nini?,au nayo FE iwe inalipiwa kodi kuwa nayo,
Je mwaka unaokuja kama nalipia tena na bado haijatumika au kuisha muda wake niitupe? maana ni nilazima niilipie kila mwaka kwa madai yao.
Vile vile naomba nieleweshwe kama huu mradi ni kwa ajili ya kuongezea mapato jeshi letu au ni biashara ya mkubwa Fulani,
Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa tu,na nafikiri ndio imeanza sasa hivi,
Naomba mnisaidie kunifahamisha kama hizi stika ni lazima na zinasaidia nini,maana kama mimi Fire extinguisher ninayo na bado haijaexpire na kisa cha mimi kwenda kuilipia polisi ni nini?,au nayo FE iwe inalipiwa kodi kuwa nayo,
Je mwaka unaokuja kama nalipia tena na bado haijatumika au kuisha muda wake niitupe? maana ni nilazima niilipie kila mwaka kwa madai yao.
Vile vile naomba nieleweshwe kama huu mradi ni kwa ajili ya kuongezea mapato jeshi letu au ni biashara ya mkubwa Fulani,
First Lady,
ni wapi inatakiwa kuwekwa hii mada,
First Lady,
kama unavyoona mimi ni mgeni so siyajui maeneo ya humu,sasa nitoe kamba mguuni na kunielekeza lakini usinicheke mtoto wa mwanamke mwenzangu
UFISADI MTUPU! kwanini stika na siyo Cylinder ya fire extinguisher. Mlio wa fedha au fedha unataka?