Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,528
- 23,370
Steve Nyerere alipoulizwa juu ya kuigiza sauti ya Mbowe alisema kila kitu kipo wazi mwenye akili anaona, na kuuliza hivi yeye aigize sauti ya kiongozi mkubwa kama Mbowe anatafuta nini? na kitakachompata ni nini? na akimuharibia yeye atafaidika na nini?
Ameongezea pia kutongoza sio dhambi ila kwa kiongozi wa umma inabidi ujifiche kwa sababu ya maadili
Ameongezea pia kutongoza sio dhambi ila kwa kiongozi wa umma inabidi ujifiche kwa sababu ya maadili