DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao, Steve Nyerere, ameweka bayana tathmini yake ya hali ya kisiasa baada ya siku 24 tangu kuanza rasmi kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mnamo Agosti 28, 2025.
Katika tathmini yake, Steve amesema vyama vingi vya upinzani havijaonyesha uimara wao, tofauti na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimeendelea kuvutia maelfu ya wananchi katika mikutano yake na kuonekana kukubalika zaidi katika maeneo mengi nchini.
Katika tathmini yake, Steve amesema vyama vingi vya upinzani havijaonyesha uimara wao, tofauti na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimeendelea kuvutia maelfu ya wananchi katika mikutano yake na kuonekana kukubalika zaidi katika maeneo mengi nchini.