Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Neno vigogo ni mimi sijui maana yake au limetumika vibaya?? Au CCM ndio imetupeleka hapa? Siku si nyingi Baba Levo na Mwijaku pia watatambulika kama vigogo
Neno vigogo ni mimi sijui maana yake au limetumika vibaya?? Au CCM ndio imetupeleka hapa? Siku si nyingi Baba Levo na Mwijaku pia watatambulika kama vigogo