tarehe 21 january ndio tarehe iliyotangazwa kwamba stendi ya mabasi yaendayo mikoani ubungo itahamia mbezi louis ili kupisha mradi wa mabasi yaendayo kasi, lakini mpaka leo agizo halijatekelezwa na ujenzi unaendelea katika msongamano mkubwa wa foleni, je waziri anatoa kauli gani kuhusu hili.