The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 655
- 1,030
Stendi mpya ya mabasi imefunguliwa mabasi ya endayo msoma kutoka Mwanza
Mikoa ambayo basi nyingi zinapita barabara ya nyerere road ndio zinapakia abiria uko ila mabasi yanayopita barabara ya kenyatta road stendi yao inachengwa nyengezi bado haijakamilikaNa ya mikoa mingine kama Bariadi-Simiyu, Dar, Moshi-Kilimanjaro, Kahama-Shinyanga n.k menyewe bado kuruhusiwa kuingia?
Mbona mbaya inazidiwa Hadi na stand ya Taifa 👇Stendi mpya ya mabasi imefunguliwa mabasi ya endayo msoma kutoka mwanza View attachment 2325341
Ngoja nyegezi ikikamilika uje ulinganishe na hiyo ata hii ni picha tu ukifika ndio utajuwa hiyo ya dodoma na hii ya nyamgholo ipi iko poaMbona mbaya inazidiwa Hadi na stand ya Taifa
Barabara ya nyerere road...Mikoa ambayo basi nyingi zinapita barabara ya nyerere road ndio zinapakia abiria uko ila mabasi yanayopita barabara ya kenyatta road stendi yao inachengwa nyengezi bado haijakamilika
Stendi gani Dodoma inazIzidi stendi za Mwanza? Unaumwa.Mbona mbaya inazidiwa Hadi na stand ya Taifa 👇
View attachment 2325348
Dah,Ila hii Mimi sijapenda, kwanini wajenge stendi mbili kwenye mji mmoja? Italeta usumbufu Sana,mfano mtu unatoka Tabora kwenda Tarime,inabidi ushuke Nyegezi,ndo uende nyamhonholo kupanda basi la Tarime!Stendi mpya ya mabasi imefunguliwa mabasi ya endayo msoma kutoka Mwanza View attachment 2325341
Kwa hiyo hicho kistand ndio kinazidi Stand Kuu ya Dodoma?Stendi gani Dodoma inazIzidi stendi za Mwanza? Unaumwa.
Ni jambo jemaMikoa ambayo basi nyingi zinapita barabara ya nyerere road ndio zinapakia abiria uko ila mabasi yanayopita barabara ya kenyatta road stendi yao inachengwa nyengezi bado haijakamilika
Stendi mpya ya mabasi imefunguliwa mabasi ya endayo msoma kutoka Mwanza View attachment 2325341
Huwezi linganisha utopolo na vitu vya maanaKwa hiyo hicho kistand ndio kinazidi Stand Kuu ya Dodoma?
Huwezi linganisha utopolo na vitu vya maanaView attachment 2325810View attachment 2325811View attachment 2325812
Mbona hyo ilikuwepo Toka zamani..unashuka buzuruga unaenda nyegezi ,au upande za moja Kwa moja musoma taboraDah,Ila hii Mimi sijapenda, kwanini wajenge stendi mbili kwenye mji mmoja? Italeta usumbufu Sana,mfano mtu unatoka Tabora kwenda Tarime,inabidi ushuke Nyegezi,ndo uende nyamhonholo kupanda basi la Tarime!
Wewe Jamaa nahisi Kuna Jamaa Mwanza alikutatua ma.ri.nda afu hakukulipa bei ile mliokubaliana!!Kwa hiyo hicho kistand ndio kinazidi Stand Kuu ya Dodoma?
Ngoja nyegezi ikikamilika uje ulinganishe na hiyo ata hii ni picha tu ukifika ndio utajuwa hiyo ya dodoma na hii ya nyamgholo ipi iko poa
Dah,Ila hii Mimi sijapenda, kwanini wajenge stendi mbili kwenye mji mmoja? Italeta usumbufu Sana,mfano mtu unatoka Tabora kwenda Tarime,inabidi ushuke Nyegezi,ndo uende nyamhonholo kupanda basi la Tarime!