Stay at home kwa wale tunaoishi nyumba za kupanga

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,119
Habari wakuu

Ni ubishi usiopingika kwamba tukitaka kuishinda CORONA covid19 ni kuondoa muingiliano wa watu kwenye jamii husika ili kuondoa na kuteketeza mnyororo wa maambukizi hapa nchini hususani ndani ya mkoa wa Dar es salaam

Katika harakati hizi za kavunja ile chain ya transmission ya huu ugonjwa wataalam wa afya wameshauri watu kukaa nyumbani kuacha kizurura na kujichanganya na vijiwe visivyo na ulazima

Changamoto ya hii suala la kukaa nyumbani kwa sisi watu wa vipato vya chini tuliokuwa katika nyumba za kupanga huku manzese, mbagala, buza, vingunguti, buguruni, temeke, gongo la mboto na kwingineko maana nyumba ni moja ina vyumba kama 12 hivi na mabanda ya uani kila mtu na radio yake huyu taarabu,Yule bongo flavour, Yule boringo na nje mtaani Kuna fremu ya kukodisha cd za muvi yaani kelele na kero tupu

Nyumba na ukubwa wake wote choo ni kimoja tunashare kama mmoja akiwa na maambukizi wote tumekwisha.

Sijui hali ya wapangaji Wengine kwenye maeneo yenu huko hali ya mazingira ikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo tafuta ndoo uweke chumbani unatumia kujisaidia haja ndoo na hivyo kukuepusha mizunguko ya mara kwa mara chooni
Hata mimi huku temeke stereo ndo nfanya hivyo na mambo safi kabisa

Unakaa na mavi ghetto!!!nyie ndio mnafanya hadi wavuta bangi wote tuonekane hatuna akili


Sent using IPhone X
 
Fanya hivi chukua tahadhari kama ifuatavyo ukienda kukojoa nenda umevaa mask na ukitoka nawa mikoni na ikiwezekana changishaneni wapangaji wote mnaweka ndoo na sabuni kabla ya kuingia uwani mtu ananawa na akitoka ananawa mbona simpe tu sema wambongo tunapenda kuyaweka mambo yaonekane magumu
 
Corona kupitia chooni Auwezi kuipata, labda uzungumzie magonjwa kama UTI, hapo maintain toilet hygiene , before ujanya unamwaga maji vizuri then unaweka makalio then kukojoa, wewe kojoa Ndani tu .kweny ndoo.
 
Corona kupitia chooni Auwezi kuipata, labda uzungumzie magonjwa kama UTI, hapo maintain toilet hygiene , before ujanya unamwaga maji vizuri then unaweka makalio then kukojoa, wewe kojoa Ndani tu .kweny ndoo.
Utafiti
therealomisa_facts-20200415-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wekeni ndoo ya maji tiririka na sabuni,, kwenye lango kuu au lango la chooni..Ilikupunguza uwezekano wa maambukiz endapo mmoja akipata maambukiz bahati mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom