Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Mimi sio muumini wa status, tangu niiangalie status yangu wakati naangalia matokeo ya kuitwa oral(4/11/2022) sijaangalia tena na sitaiangalia hadi pdf itoke.Tunashangazwa na wanaosema Inabadilika,
Endeleeni kupambana na status
