Wakuu nani anajua ufanyaji wa hii biashara je ni wapi watu hununua vitu ili waviuze kwenye stationery zao na ni vitu gani vinavyotoka zaidi.
Kwa ujumla biashara hii inafanywavipi, ndugu yangu wa karibu anataka kuanzisha biashara hii na mimi niwe partner wake lakini sina ufahamu juu ya biashara hii.
Natanguliza shukrani.
Kwa ujumla biashara hii inafanywavipi, ndugu yangu wa karibu anataka kuanzisha biashara hii na mimi niwe partner wake lakini sina ufahamu juu ya biashara hii.
Natanguliza shukrani.