ahaha sijui aisee vipi gari imepona,mchana ntakupigia tuongee mkuuImekuwaje mimi likanipotea?
Utaisoma namba. Lipa kodi wewe!Ina kila kitu kwenye vyumba viwili inauzwa kama ilivyo bei ni milioni 5 tu mazungumzo yapo, location ni Manzese Argentina
Labda niulize hivi ;Hapo electronics ndio inatoka zaidi na Inategemea kuanzia 50 -150