Startimes wanaonesha fainali za UEFA?

Startimes wanaonesha fainali za UEFA?

iammushi_h

Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
13
Reaction score
5
Wenye ving'amuzi vya Startimes tunaweza kuangalia fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE ?
 
Sina uhakika, chamsingi ww andaa bando la 700MB uwezeku stream live on line
 
Hivi ving'amuzi vya Star times havina uwezo wa kupata channel za mpira kwa ku crack by frequency kwani?
 
Unatumia mtandao gani mkuu yani kustream ni app au web ipi
google Mobdro apk kisha download katika simu yako

utkutana na chaneli za kumwaga mpaka utazikimbia mwenyewe ni bando lako tu una stream tuuuu

kwa sisi wa vijijini tunatumia zetu halotel tunatereza tu kama tumejipaka mawese.
 
Back
Top Bottom