Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,303
- 2,079
Kuna mtu hapa nmepata mashaka na jinsia yake
Unahisi ni hermaphrodite or ?
Kuna mtu hapa nmepata mashaka na jinsia yake
Labda hakuelewa kiswahili chako au wewe pia hukumuelewa maana mimi hapa imenichukua muda kuelewaNikikua nasikia fujo nyingi.. za kimbea
Yule dada anaonekana ni mcharuko maana alikua ananielezea kwa hasira wakati mm hua naongea kiutaratibuLabda hakuelewa kiswahili chako au wewe pia hukumuelewa maana mimi hapa imenichukua muda kuelewa
You're going too far.. pleaseUnahisi ni hermaphrodite or ?
ChangamotoWanaume Wa Kuchovya Bana ... DAAH So sad wanaume wa kweli tunazidi pukutika.
unampa makavu dadeki zake,mbona wewe ni dhaifu sana MkuuMimi nilioiga simu airtel mdada akawa ananifokea mno.. niliumia sana maana machozi hua karibu sana mtu akinifokea.
Sitarudia kupiga sim tena
Dhaifu kivipi.? Wengine hatukulelewa mazingira ya kutukana au kufokea wenzetuunampa makavu dadeki zake,mbona wewe ni dhaifu sana Mkuu
sasa hivi tunatakiwa tulindwe maana tumebaki wachache sanaWanaume Wa Kuchovya Bana ... DAAH So sad wanaume wa kweli tunazidi pukutika.
hakuna anayezaliwa na hiyo kitu,ila mazingira yanakufanya uwe mkomavu ngngagari as a manDhaifu kivipi.? Wengine hatukulelewa mazingira ya kutukana au kufokea wenzetu
Mimi nilikuwa nalipa kwa ajili ya S Music, BEt, TheKiss..sasa zote zimetolewa huwa nakosa hata channel ya kuangaliaStartime mm siwaelew kabisa fox life haipo siku hiz cloud tv haipo series haipo tunanunua vifurushi haviendan na hela yetu kbs