Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Hata kama atakukubali kama ulivyo bado atakuwa anapenda ubadilikeShe inabidi anikubali tu hvio nilivyo...
Hata kama atakukubali kama ulivyo bado atakuwa anapenda ubadilikeShe inabidi anikubali tu hvio nilivyo...
Nitatafuta aliyenizidi kidogo..Hata kama atakukubali kama ulivyo bado atakuwa anapenda ubadilike
Unapenda walikuzidi eeh? Kwa nini aliyekuzidi?Nitatafuta aliyenizidi kidogo..
Labda nikifika umri fulani hali hii itaisha
😂 😂 😂 😂 😂Mimi nilioiga simu airtel mdada akawa ananifokea mno.. niliumia sana maana machozi hua karibu sana mtu akinifokea.
Sitarudia kupiga sim tena
Hua siwez vumilia kufokewa bora unipige..
Sipendi walionizidi. Napenda nitakaempenda au ninayempenda ilimradi awe kuanzia 17yrs.. Haijalishi ni umri gani.Unapenda walikuzidi eeh? Kwa nini aliyekuzidi?
No. Mimi ni sugu kwenye kupigwa. Ila ukinionea naumia sanaKwa hiyo ukipigwa hata kidogo wee kulia ni automatic?
Ungesikia anavyonifokea ungeshangaa mno.. kama vile sio mteja.😂 😂 😂 😂 😂
Nisamehe rafiki yangu, nimecheka sana!! Kwahivyo mdada wa Airtel akakutoa machozi??
No. Mimi ni sugu kwenye kupigwa. Ila ukinionea naumia sana
You're overdoing it...Kwa mfano ukipigwa vipi wee unakuwa sugu na hulii?
You're overdoing it...
Jamani.Mimi nilioiga simu airtel mdada akawa ananifokea mno.. niliumia sana maana machozi hua karibu sana mtu akinifokea.
Sitarudia kupiga sim tena
Wanaume Wa Kuchovya Bana ... DAAH So sad wanaume wa kweli tunazidi pukutika.Mimi nilioiga simu airtel mdada akawa ananifokea mno.. niliumia sana maana machozi hua karibu sana mtu akinifokea.
Sitarudia kupiga sim tena
Hongeraa yako kiongoziWanaume Wa Kuchovya Bana ... DAAH So sad wanaume wa kweli tunazidi pukutika.
😂😂😂 PauJamani.
Ooh sawaSipendi walionizidi. Napenda nitakaempenda au ninayempenda ilimradi awe kuanzia 17yrs.. Haijalishi ni umri gani.
Nimekuonea hadi huruma.😂😂😂 Pau
Hili nami hua najiuliza sana.. kweli dunia hii si rafiki kwa watu wa aina yanguNimekuonea hadi huruma.
Dunia ya sasa ilivyo na mikiki mikiki utaweza kweli Vers?