Startimes mnataka nini?

Inaandika hivi, You are not subscribed to view this channel.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

hello, ndugu kilochindikipoporu natumai namba yako ya simu inaishia tarakimu ...18 pole sana kwa usumbufu ulioupata, tafadhari mifumo yetu inaonyesha king'amuzi chako kiko sawa na inabidi kionyeshe chanel za nyumbani, tafadhari weka TBC1, kisha usubiri kwa muda wa dk 15, kama utaendelea kuona tatizo linaendelea tafadhari tujulishe, pia tujulishe unapatikana wapi!

ahsante na tunakutakia jumapili njema!
 
habari yako, tafadhari ukiwa na tatizo kuhusu startimes waweza wasiliana nasi kwa namba zifuatazo

0764700800 au
0677700800

au tutumie email

info.tz@startimes.com.cn
Mawasiliano Hayo Mnayotupa Siyo Mazuri
Bsdilikeni Startimes, Kampuni Nyingine Huduma Kwa Mteja Unapiga Bure

Sasa Hii Number Yenu Ni Kero Iwapo Huna Salio
Nakupa Mfano Bima Ya Afya Nhif Wana Number Ya Bure Inayoanza Na 080.......
Ambapo Mteja Akiwa Na Tatizo Anapiga Bila Malipo Yoyote.
 
Napatikana mkoa wa Mtwara mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
 

tunashukuru kwa maoni yako, tutafikisha idara husika!
 
habari yako, tafadhari fika ofisi za startimes zilizokaribu nawe kwa msaada kuhusu local chanel

Pongezi kwa Startimes kwa kujibu haraka sana, pia msisahau kuwaambia mpo kwenye ofa kwa king'amuzi cha antenna sasa ni kwa 79,000tu pamoja na kifurushi cha Uhuru, baada ya kifurushi kuisha watalipia kifurushi kwa bei ndogo sana 8,000 kwa mwezi.
 
Jana usiku nilikuwa natazama wasafi tv na trace mziki. Ajabu leo hizipo tatizo ni nini?
 
Shida nyingine ni wao wenyewe, wanapandisha bei wakati wanajua wana chaneli za bure bila taarifa.
 
Me nauliza tu kwa nn Cloudstv haionekani vifurushi vya antena??? ,,wakat ni Local TV
 
Mimi tangu CCM watulazimishe haya mambo ya dijitali naona ni usenge mtupu. Mzee Mengi alisema ni mapema sana hii mambo, au la, tungefanya kama wenzetu. Mlaji anafanya uchaguzi wa analogia au digital.
 
Hata kama wana familia, ndo wafanye huduma za hovyo hovyo?.. Mimi mwaka jana waliniambia nilipe kiasi fulani kisha nitaona kombe la Dunia kuanzia mechi ya kwanza hadi ya mwisho, lakini wakaishia kurusha mechi moja tu kwa siku, na hiyo moja ndo ilikuwa inarushwa pia na TV1 huu ni upuuzi tu wa mchina.DSTV ndio kila kitu, wafanye hima kurejesha chaneli za ndani, ili tuachane na utapeli wa mchina.
 
Mimi tangu jana sipati channel za ndani
Nimimebaki na TBC tu
Hata hivyo sijalipia kwa muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…