Wakuu,zamani nilikuwa napata zaidi ya channel zinazorushwa na startimes kwa kuingiza namba flani manualy,sasa zinagoma,je ipo namna yakufanya ili niendelee kuzipata???
Nilikuwa naingiza namba 530 na 570 kwenye manual searching halafu zinakuja channel Kama ishirini hivi,ila Kwa sasa hazikubali tena.
Mimi natumia king'amuzi tofauti na Startimes, 530 inakamata ila 570 imegoma naona wameishutukia wakaibana.
Je hizo channels ni bure au pay. Na wale wa zuku tuambizane
Ni za bure mkuu.
Ni za bure mkuu.
Kiongozi vp Zuku yenyewe haishikiki au inachakachuliki tusaidpien maana yenyewe majanga tupu hasa sis wa vijijn hatuna mbadala.