Ni kweli, nimepiga startimes nimeambiwa kwa kuwa nina kingamuzi kipya inayotakiwa kuonekana bure ni TBC peke yake, je hii ni halali
Umenisemea mkuu! Hata mimi siku wakifanya hivyo natupilia mbali, shenzi kabisa hawa CCMNinacho cha startimes lakini siku wakisema hivo ntakitupa siku hiyo!!
Ushauri: hamia kingine wamelewa sifa
Startimes wanabana. Usipolipia sometime wanazikata zote . Ukibahatika wanakuchagulia station tatu tu.. mimi ninapata startv, itv na eatv. Hata hiyo tbc sijaiona ni zaidi ya mwaka sasa!!
Kwanza kinasumbua sometime huoni chochote wiki nzima.. mpaka waamue wenyewe.. ni kero!!
Mimi kwangu imebaki Tbc 1 Tu
Tuache story nyingi.Tuwe na utamaduni wa kupenda kufanya kazi na kulipia huduma. Dunia hii mtu unataka free kabisasssssssaaaa.Sasa wenye vingamuzi na TV stations watapata wapi faida? mnataka wawekeze millions na waonyeshe freeeeeeeeee.TZ bana
Tuache story nyingi.Tuwe na utamaduni wa kupenda kufanya kazi na kulipia huduma. Dunia hii mtu unataka free kabisasssssssaaaa.Sasa wenye vingamuzi na TV stations watapata wapi faida? mnataka wawekeze millions na waonyeshe freeeeeeeeee.TZ bana