Wewe unaishi mkoa gani?Ni siku karibu ya nn leo mnapatika kwa shida na wakati mwingine hampatikani kbs shida nini?kama mmo humu mtuambie
MwanzaWewe unaishi mkoa gani?
Mimi niko kwa mtogole Dsm naipata Star tv bila shida!Mwanza
unanirudisha miaka ya nyuma kidogo ukiongelea RFA, kipind hicho nilikuwa kijiji flan hv, hamna FM radio inayoshika, kwahyo unapata RTD, Radio one na RFA kwanzia jioni masafa ya kati.Dodoma pia hatuwapati,sijui wale jamaa wenye herufi tatu TR.... wamevinjari tena!singida nako radio free hawapatikani karibu wiki sasa.
