Nimefatilia leo habari za Star tv, sio siri nimeghafirika sana. Au na nyie -----------? Nimeona mmeweka habari za kuwaponda UKAWA , hiyo siyo haki hata siku moja. Mnaongelea UKAWA zanzibar hapo hapo mnachanganya na kada wa cccm, je mlitegemea kada wa cccm wasemeje? Acheni kutoa habari kwa upendeleo, huo ni utovu wa nidhamu na kushindwa kusimamia taaluma zenu. Nimefatilia ya Singidanayo naona mambo ni yaleyale, yaani hadi najuta kuitazama hii tv, na mkiendelea nitaihama kama pacha wenu tbccccm...hovyoooòoooooooooooooo