vitu viwili,
Moja, Kiwango cha Elimu
Bunge ni sehemu wanafanya maamuzi muhimu sana kwa taifa, wabunge hupitisha bajeti ya serikali, wabunge hutunga sheria, wabunge husimamia serikali, ni muhimu kupandisha kiwango cha cha chini cha elimu kwa mtu kuwa mbunge, labda kiwango cha chini iwe degree moja.
Kutanguliza maslahi ya chama kuliko maslahi ya taifa
Wakati mchumi daraja la kwanza wa BOT (kama anavojiita mwenyewe) anasema bajeti ni nzuri sana na imeandaliwa kitaalam ikizingatia viwango vya kimataifa labda ndio maana watu wengine wanashindwa kuielewa, Waziri mkuu akaunda tume kuangalia vyanzo mbadala vya mapato na kuongeza pesa kwenye development budget (ambayo yalikuwa mawazo ya shadow budget). Ukiangalia elimu na uelewa wa mwingulu ni wazi alikua anasimamia maslahi ya chama chake