Naona wanasheria wa kizazi kipya wanavyobishana ndio Najua kuna matatizo ya elimu mtu hana hata mshipa wa AIBU anasema taftiri hiyo siyo wakati ukisikiliza ni ndio Yaani hata siwaelewi na ndio maana hata kwenye kanuni na kificho alipata tabu maana unaona lkn unakataa
bwana happy ametuangusha ameshindwa kutoa jibu rahisi tu la mantiki ya neno shall kwenye kifungu 25 sub 1 & 2 badala yake anasema vifungu vingi tu vina neno shall. hapa nakubaliana na wale watu wenye akili nyingi wanaoitwa wahenga kuwa kwenye ukweli uongo hujitenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.