Star TV kwenye King'amuzi cha AZAM

Star TV kwenye King'amuzi cha AZAM

BABA E's

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
354
Reaction score
136
Jamani kwanini Star TV haipatikanani kwenye king'amuzi cha AZAM, kuna namna yoyote ya kuipata.

Natangulia shukurani.
 
Jamani kwanini Star TV haipatikanani kwenye king'amuzi cha AZAM, kuna namna yoyote ya kuipata.

Natangulia shukurani.

Hata mimi nashangaa,Nimeitafuta sana super sport 3(ch 203) bila mafanikio.
 
Star Tv ana king'amuzi chake kama cha azam tv kinapatikana sehemu nyingi nchini
 
unamtangulizia nani shukran.??
 
Hawajaklubaliana mikataba ya kurusha cHannel hiyo.
Maana bado wananadi Dikoda zao,ila zimedoda.
Watabana lakini wataachia,maana IPP media alizingua mwisho kasalimu amri.
Maana hata wanaoleta Matangazo wanaangali wigo wa Muonekano wa chombo chenyewe.
Na Star Tv mradi wa Dikoda ni kama ile ndege yao walioleta ya Community Airline iliokufa kifo cha chura,sasa ndio hii habari ya Dikoda zao za Kontinental ambazo waliingiza pesa na hazijaridi na wanunuzi wamemaliza shopping.Sasa wanaona wakiingia kule basi wameisha.

Mie kwenye Start Tv nime miss Futuhi tu basi,mengine ni ya kawaida.
Kwanza Muandishi wao Mahiri wa Habari Yahya Mohammed nimemuona leo AZAM Tv kwenye kipindi cha Trumpet asubuhi,nikasema nahuyu kahamia AZAM Tv basi kazi ipo sasa.
 
Sasa azam tv wamebadirisha chanel ya setanta africa na kuweka fox sport amayo inaonyesha mechi za uingereza na leo watarusha mech ya Liverpool vs man city saa 3 usiku be close to ua tv that time u will prove it
 
Sasa azam tv wamebadirisha chanel ya setanta africa na kuweka fox sport amayo inaonyesha mechi za uingereza na leo watarusha mech ya Liverpool vs man city saa 3 usiku be close to ua tv that time u will prove it

!
!
mkurugenzi kuna ukweli katika hilo? maana ninacho na natamani mno mechi
 
Hivi niulize Star tv ukitoa Dira ya dunia ya BBC wanakipi cha ziada? Au ni mazoea ya kutaka uone kila local channel hadi C2C? Maana wakiweka hiyo mtaulizia Mlimani tv n.k ......Bongo ukiwa na channel za IPP hupitwi na habari za nyumbani hata kidogo .......Badala ya kuwashauri Azam tv kutuletea machaneli ya ukweli ya mbele nyie kila siku humu na FB mnalilia Star tv!!!!!!!! ndio maana mnawapa kiburi cha kuwakatalia Azam media hadi Azam wenyewe wameshasema offically kuwa kikwazo si wao bali hao Star tv .......
 
Sasa azam tv wamebadirisha chanel ya setanta africa na kuweka fox sport amayo inaonyesha mechi za uingereza na leo watarusha mech ya Liverpool vs man city saa 3 usiku be close to ua tv that time u will prove it

Mara nyingi Fox sport nimeona ligi ya uholanzi na juzi ilikuwa kati ya PSV Vs Ajax .....EPL sidhani maana mara nyingi huwa ni marudio .....labda kama ni taarifa mpya ..........
 
Kiongozi we leo tulia kwenye king'amuzi chako ujionee live game ya Liverpool vs man city
 
Sasa azam tv wamebadirisha chanel ya setanta africa na kuweka fox sport amayo inaonyesha mechi za uingereza na leo watarusha mech ya Liverpool vs man city saa 3 usiku be close to ua tv that time u will prove it


ulivyo muongo kwanza game yenyewe hujuwi inachezwa saa ngapi.

Ni saa 22:00

Sentanta ndio fox haaaa haaaa bora niwahi banda umiza mie
 
Sasa azam tv wamebadirisha chanel ya setanta africa na kuweka fox sport amayo inaonyesha mechi za uingereza na leo watarusha mech ya Liverpool vs man city saa 3 usiku be close to ua tv that time u will prove it

Fox sports hawaoneshi Epl live. Mechi unayosema wewe itaoneshwa marudio kesho.
 
Kiongozi we leo tulia kwenye king'amuzi chako ujionee live game ya Liverpool vs man city

Mkuu naona unaangalia live game ya LIVERPOOL VS MAN CITY kupitia Foxsports mimi nimeamua kulala nipe matokeo
 
Back
Top Bottom