Star Tv imepotea hewani?

Star Tv imepotea hewani?

Hakuna tv station ninayo ipenda kama star tv wao ndo wamenifanya nipende tamthilia za kifilipino waandishi wa habali mahili hasa samadu hassani na pamoja na dira ya dunia NAOMBA SERIKALI WAINGILIE KUTATUA HILI TATIZO AU BIBI YULE WA HAKI NA SHERIA BISIMBA pia huku nako haki zetu za kupata habali zuri tunakosa
 
Hata startimes haipo pia sijui wamejitoa???
Tunammiss kikeke s
 
Siku ya 4 sasa kwenye startimes hawasomeki
 
Nadhani watakuwa na mgogoro wa malipo ya huduma ya satellite na kampuni moja ya Israel, kuna kama kabilioni na ushee kanadaiwa na jamaa sasa kwa vile pesa hawana wameona wawe wanahamisha magoli.
 
Jinni walivyokipigia debe wakati ule waombe msaada tu watasaidiwa kwa fadhila zile
 
startv naikubali sana kwenye taarifa za habari za kimataifa akiunguruma Samadu Hasan. michezo pia wanachambua vizuri hasa ripoter wao Ahamed Ali. pia Dira ya Dunia satatu usiku.... jana nimesikitika sana kuwakosa hewani Startimes. nawaza kununua continental
Kwanini usiangalie cnn, bbc, aljazera
Kama kweli unapenda habari za duniani
 
Back
Top Bottom