Star Tv imepotea hewani?

Star Tv imepotea hewani?

Ni siku 4 sasa hawapo hewani je marekebisho yao walitangaza ni kwa muda gani mkuu?
 
Yani hilo litv nlikuwa na mpango wa kupeleka maombi yangu kwa startimes waniondolee kabisa lakini kwa kuwa wameliondoa wenyewe afadhali
 
Hivi ni tv station ya chama ile?
Ngoja itengamae ili itumike tena 2020,
 
Inavipindi vizuri na haswa tamthilia zake ni nzuri sana na ukija futuhi alhamisi nimeimisi kwa kweli star tv
 
startv naikubali sana kwenye taarifa za habari za kimataifa akiunguruma Samadu Hasan. michezo pia wanachambua vizuri hasa ripoter wao Ahamed Ali. pia Dira ya Dunia satatu usiku.... jana nimesikitika sana kuwakosa hewani Startimes. nawaza kununua continental
 
Inavipindi vizuri na haswa tamthilia zake ni nzuri sana na ukija futuhi alhamisi nimeimisi kwa kweli star tv
Hiyo TV haina mpango walishapoteza mvuto toka mwaka jana hata habari zao hazipo fare ni siasa tu ya ccm ! Huyo mkuu wao bora abadili mwelekeo wa matangazo vinginevyo watabakia kutangaza matangazo ya akina ndodi na mitishamba tu ! sisi huwa tunaangalia kipindi cha michezo na futuhi tu !! Ilifika taarifa ya habari iwe bar au hotelini au nyumbani utasikia watu wanasema toa hiyo weka ITV ! Wamekwishaaa na siasa zao kusifia ccm !!
 
Hiyo TV haina mpango walishapoteza mvuto toka mwaka jana hata habari zao hazipo fare ni siasa tu ya ccm ! Huyo mkuu wao bora abadili mwelekeo wa matangazo vinginevyo watabakia kutangaza matangazo ya akina ndodi na mitishamba tu ! sisi huwa tunaangalia kipindi cha michezo na futuhi tu !! Ilifika taarifa ya habari iwe bar au hotelini au nyumbani utasikia watu wanasema toa hiyo weka ITV ! Wamekwishaaa na siasa zao kusifia ccm !!
Watu mnamaneno makali
 
Hiyo TV haina mpango walishapoteza mvuto toka mwaka jana hata habari zao hazipo fare ni siasa tu ya ccm ! Huyo mkuu wao bora abadili mwelekeo wa matangazo vinginevyo watabakia kutangaza matangazo ya akina ndodi na mitishamba tu ! sisi huwa tunaangalia kipindi cha michezo na futuhi tu !! Ilifika taarifa ya habari iwe bar au hotelini au nyumbani utasikia watu wanasema toa hiyo weka ITV ! Wamekwishaaa na siasa zao kusifia ccm !!
Hatari basi kama wanasema Toa hiyooooo Weka ITV ni noma sana... pia picha huonekana kama ina ukungu mwingi sijui huwa wanashutia juu ya Mawingu! ukizoea kitizama HD na ukatizama Startv unaweza dondosha machozi
 
Back
Top Bottom