star times mnabore

Wizzo

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
723
255
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times
 
mwenzenu niko na king'amuzi cha TING nakula LIVE TU hapa kupitia KBC na ATN.
 
wanakera kama nn, mi nahis wamefanya kusudi...haiwezekani sibuka waoneshe movie na kbc1 no service af mchezo ukiisha utaiona kbc1 inarudi hewani...
 
yani mi nmemind sn,ngepata namba za cm ya mkurugenzi wa star times ngemtukana sana...haya ni makusudi 2tahamia ting...pumbavuuu
 
mi mwanzo nlidhan ni changu 2 ndo hakishki kbc1,kumbe vyote havishiki,haya ni makusudi
 
hakuna cha kupoa,tayari nmeshakosa kuangalia gem ya muhm leo...ole wao kesho 2cone gem ya man u watanrudishia hela yangu ntakichukia king'amuzi 4rever
 
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times

mnapenda vya rahic chukuen dstv
 
mimi nallia na serikali kwa nini hawa jamaa hawalipi kodi ya VAT au ni mradi wa watu. jamani anaglieni risiti zetu hawa watu hawalipi mapato je TRA ivi vile vifaa vya kodi hawajapewa au
 
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times

Labda ni kbc1 ya kichina hiyo, sio ya Kenya!!!!

Kweli wachina hawaaminiki hata ukiwaamini.
 
tanzania ni dampo la wachina,kila takataka wanatuletea..hata hiyo star times ni takataka yao pia,haina ubora!!
 
mimi nallia na serikali kwa nini hawa jamaa hawalipi kodi ya VAT au ni mradi wa watu. jamani anaglieni risiti zetu hawa watu hawalipi mapato je TRA ivi vile vifaa vya kodi hawajapewa au

nijuavyo mimi ni kuwa vitu vinavyohusika na technolojia kama computers, printers etc huwa hazina vat nadhani na decoder zitakuwa kwenye kundi hilo.
 
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times
Mi jana ndo nimefunga star times, nikaambiwa wataonesha mechi ya mpaka naenda kulala walikuwa wakionesha vichekesho tu, kweli wadau tuelekezeni wale wanao onesha mpira na si katuni
 
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times

wapuuzi kweli. tatizo la hawa jamaa ni washirika wa TBC. mambo yao yanaenda kichama-chama. jana wamenigandisha nasubiri EL-Classico kumbe cheche. Waliondoa NTV bila maelezo ya kutosha na haijawahi kurudi.

kuna jamaa wanajiita EASY TV wana ving'amuzi poa sana. Ila inahitaji uwe na angalau kilo na nusu kukipata. kina channel zote za maana. Kama kuna local channel isiyokuwepo si zaidi ya 2. nawanyemelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom