Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
this is too much,mbna 2nawalipa hela 9000 kila mwez lakini mnatufanyia uhuni? Imagine hamna chanel hata moja inayoonesha uefa league! Arusha kbc1 haishiki ,sibuka wanaonesha movie,sasa cc 2naangalia mpira wapi.acheni wizi wa kijinga usio na maana,mnatujazia chanel zenu za chna zna2saidia nn cc...wana jf embu nambieni kama kuna ving'amuz vya maana niachane na hawa wahuni star times