Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Ni imani yangu kuwa mtakubaliana na mimi kuwa Star Times hawana jipya na kuwa chaneli zao zinaboa ile mbaya! Ni mwezi wa tatu huu sijanunua vocha, infact nafikiria kununua dish. Ushauri wangu ni kuwa wateja wa Star Times tugome kwa pamoja kununua vocha hadi hapo watakapoboresha huduma yao.