Nahitaji T2
waliwahi kusema eti ving'amuzi vya moro vinatumika moro na znz tu,binasfi nilishuhudia king'amuzi cha arusha kikishindwa kufanya kazi morogoro,hao ndio star times tuwe makini nao
zingatia sana kama kisimbusi chako ni t1 akiwezi kufanya kazi kwenye t2. Ila t2 inafanya kazi kwenye t1. morogoro ni t2
waliwahi kusema eti ving'amuzi vya moro vinatumika moro na znz tu,binasfi nilishuhudia king'amuzi cha arusha kikishindwa kufanya kazi morogoro,hao ndio star times tuwe makini nao
Mie nina zuku satellite receiver,imetumika miez 6 tu.
King'amuzi cha startimes kinafanyakazi sehemu yeyote yenye signal yao. Unachotakiwa kufanya kila unapobadilisha mkoa inabidi u scan frequency upya. Sababu kila mkoa frequency band zinatofautiana kutokana na leseni waliyipewa na TCRA.
Ushapata?Nahitaji T2
sh ngapi mkuu