Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,366
- 832
Kuna habari nimezipata leo kwenye daladala kuwa stand ya mabas ya mkoa inahamishiwa tegeta,swali mbona imehamia mbezi?ni kwa muda au? Ni vigezo gani wametumia kuhamisha hii stand hapo ubungo? Hakuna kaufisadi kweli? Nijuavyo mimi terminal haiwi nje ya mji,inakuwa center kwa ajili ya wakazi wote wa jiji, ubungo wanaweka nini?