Stand ya basi dodoma ni aibu

Stand ya basi dodoma ni aibu

Biscuit

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
8
Reaction score
0
:A S-baby:nashanga kuona mji ambao ni makao makuu ya nchi,mji ambao bunge la nchi linafanyia vikao vyake pale sitand ya basi kuwa kama ile ,hata kama wanampango wa kuhama inawachukua muda gani ni aibu tena nasema ni aibu sehemu ni ndogo, haina mpangilio mzuri,watu wanapika vyakula kwa kuzunguka stand iliyo ndogo inatisha wahusika walione hilo
 
I was also shocked nilipoenda Dodoma kwa mara ya kwanza! Ni aibu tupu hii nchi.
 
Back
Top Bottom