Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Mwenyekiti wa timu Ya Stand Utd ametangaza kumshitaki msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire kwenye kamati Ya nidhamu na uongozi Ya Ligi ,kutokana na maneno Ya chuki, na udhalilishaji dhidi Ya Stand Utd.
Msemaji huyo mwenye maneno mengi amekuwa akiwaita stand kuwa ni wauwaji, wachawi! Pia akidai kuvamiwa na. Watu wenye mapanga bila kuwa na ushahidi, Pia anawatuhumu na polisi.
Msemaji huyo mwenye maneno mengi amekuwa akiwaita stand kuwa ni wauwaji, wachawi! Pia akidai kuvamiwa na. Watu wenye mapanga bila kuwa na ushahidi, Pia anawatuhumu na polisi.