STAMICO mbona kimya? Nafasi za kazi zilitangazwa October 2013 wakitafuta wafanyakazi 78, usahili ukafanyika mwanzoni mwa december 2013. Mpaka sasa bado hawajatoa majibu!
JF jungu kuu halikosi jambo. Nauliza kulikoni STAMICO? mbona kimya wakati vijana waliahidiwa matokeo ya usahili yangetoka december mwishoni mwaka jana? Wadau mwenye current information atujuvye.
Thanks
JF jungu kuu halikosi jambo. Nauliza kulikoni STAMICO? mbona kimya wakati vijana waliahidiwa matokeo ya usahili yangetoka december mwishoni mwaka jana? Wadau mwenye current information atujuvye.
Thanks