St joseph college of engineering and technology~dar es salaam

NIMEKIMBIA CCM

Senior Member
Oct 4, 2011
193
26
Kama kuna mtu ambae anafahamu ubora au udhaifu na sifa mbalimbali za hiki chuo,naomba anisaidie ukilinganisha na soko la ajila la sasa
 
Practically wako serious, wanajifunza na kujiandaa kuingia ktk soko la ajira na kujiajiri. Tofauti kabisa na engineering ya UD
 
mimi sio student wa pale ila kwa wanaosoma pale wanakisif mno...ni kizur sana..maswala ya gpa kama unasoma utakosa gpa kubwa kwa nini??? swala c ugum wa pepa,swala ni kichwani kuna nini haswa kwenye practicals!! ni chuo kizur huo ndo ukwel>>
 
Kama Utaki acha usiende tafuta kwengine dogo,jipime kichwani maana....nasikia hapo Hakuna kulala na lecturer ili upate paper wala kununua paper ili utoke...pia full kubanwa muda wote upo class ma lecturer wanapishana mlangoni na attendance madent wanaitwa majina kama we wa kujirusha usiende,ki utendaji ofisin wako poa,kuna vijana tuko nao hapa kwetu,wameshiba haswa wanapiga kazi kweli wanaonekana wametoka kusoma sio kujirusha
 
Dogo kwa Engineering Faculty wako Dar maeneo ya Kibamba,ila hizo faculty nyingine nasikia mikoani...wadau watakuja kukujuza zaidi humu
 
Samahani wadau,hiki chuo kimeanzishwa lini?Kipo dar sehemu gani?
Kiko maeneo ya magari saba,unapanga daladala mpaka mbezi mwisho(Mbezi ya kimara) kutoka hapo unaweza panda gari ya kibamba au maili moja .shuka kituo cha magari saba au omba msaada sheli ni badaya ya magari saba na kabla ya kituo cha Makondeko.Chuo kitakuwa kulia kwako.
 
Wanatoka na GPA kubwa kubwa.over
mimi sio student wa pale ila kwa wanaosoma pale wanakisif mno...ni kizur sana..maswala ya gpa kama unasoma utakosa gpa kubwa kwa nini??? swala c ugum wa pepa,swala ni kichwani kuna nini haswa kwenye practicals!! ni chuo kizur huo ndo ukwel!! fikiria zaid man!!!
 
div 4 au 3 mbaya fresh tu pale
afu umekaa kishaki shabiki eeh??!! Je kabla ya kuropoka ulijiuliza maana ya BRIDGE CAURSE ni nini?? afu kikawaida div 4 degree ni ngum labda diploma...afu mbona huendani na jina lako?? acha kua na mwazo mgando!!!!
 
sasa ndo ya undergraduate au postgraduate?? embu nieleweshe mkuu??
 
div 4 au 3 mbaya fresh tu pale

Duh!Je iyo ni kweli lakini???Ila Kwa vigezo vyako ulivyosema mbona kingekua kinajaa hiko chuo,maana wanaomaliza na kupata matokeo ya vigezo vyako ni wengi kuzidi wote kila mwaka......plz come with statistics (HOME OF GREAT THINKERS)
 
Wakubwa. hampaswi kuogopa kuhusu ni wapi mtakapo pangwa kusoma au ni kozi gani mtakaochaguliwa. Muhumi kuweka nguvu katika kile utakachopata. kila kazi ina maslahi, provided you will be committment. Mind you, LIFE HAS NO FORMULAE.
 
Chuo bora hakijitangazi kwenye TV hata kama ni cha private, so to me St Joseph kitakuwa na walakini, why kwenye TV?
 
Back
Top Bottom