St John Pharmacy, 90 kati ya 130 hatuna mkopo

St John Pharmacy, 90 kati ya 130 hatuna mkopo

sir doctor

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
291
Reaction score
66
Wadau tusaidieni mimi nasoma chuo kikuu cha st john mpaka sasa walioopewa mkopo ni wanafunzi 40 tu kati ya 130

Ndio tumeshaachwa au tusubiri????
 
Nadhan mpo zaid ya 130, >150..?!

Bado siamin kama kweli mtakosa mkopo ..!!
 
oya Sir Doctor apo kuna Mdogo wangu anapga phamarcy ...alikuwa hajapata mkopo ...mchek akupe connection amefatilia akapewa
 
Tafuta plan B serikali ina mambo meng ya kufanya pamoja na kuvipatia vijiji vyote 50mil.. Hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom