Norbert Kapinga
Member
- Aug 28, 2015
- 37
- 12
nili apply HEALTH COMMUNITY kupitia NACTE leo ndo wamenipa majibu nimechaguliwa st JOHN COLLEGE OF HEALTH _ MBEYA sasa nimewapigia chuon wananiambia nafas walizopewa na NACTE zimejaa, nimewapigia NACTE wananiambia niende tu kama zimejaa nitapewa barua, sasa naomba anayekijua hicho chuo anijuze ada na mazingira yake yapoje???