Asante sasa hofu imeondoka maana nilikuwa nikifikiria mil 3wana utaratibu mzuri tu pale, suala la hizo fedha sio la kuliwaza maana ukifika pale wakati wa ku sign boom unaweza ku deduct gharama zote ambazo loans board hawakulipii. na ndivyo wengi wanavyofanya.hiyo ni kwa direct cost na ada zinaazoongezeka, mfano mtu ambaye anasomea ualimu (Bsc ed) analipiwa 1.3M na bodi wakati ada ni 1.7M, hivyo hiyo 400k ukitaka unaweza ku deduct kwenye boom, the same kwa direct cost ambayo hapo ni 220k
usiiwaze kijana, kama utakuwa na tatizo lolote kuhusiana na pale usijali, karibuAsante sasa hofu imeondoka maana nilikuwa nikifikiria mil 3