Ha ha ha haaa Nyamayao nimejaribu kutafakari akili inanielekeza nyamayao atakuwa mtoto wa mzee fulani mitaa ya Kaloleni !.Anyway Jmosi ukija XL Pub naweza kukutambua ila ngoma itakuwa kumtambua Ngongo ha ha ha ha.
Namuhisi Pendo nikienda mbele zaidi akili inakataa kabisa unajua kwanini,ninavyomfahamu Pendo hawezi kuwa na muda wa JF.Kuna binti mwingine mdogo anafanyakazi CRDB sidhani kama kashaolewa yupo Dada yao mkubwa ni Mwl jina limenitoka sidhani kama yuko Arusha.Umeona mpaka hapo nimetoka kapa.
Namuhisi Pendo nikienda mbele zaidi akili inakataa kabisa unajua kwanini,ninavyomfahamu Pendo hawezi kuwa na muda wa JF.Kuna binti mwingine mdogo anafanyakazi CRDB sidhani kama kashaolewa yupo Dada yao mkubwa ni Mwl jina limenitoka sidhani kama yuko Arusha.Umeona mpaka hapo nimetoka kapa.
hahahha Pendo kichaa wangu sana tu, na kweli hana muda huo, si unamuona alivyo mchizi, nampenda best yangu yule mbaya kabisa, ni muwazi ukikaa nae ni kucheka tu, hahaha,ana vituko vyote, dogo alishaolewa na mkaka wa CRDB friends kona wanaishi nyuma ya city link, dada yao anaitwa Mage, alihamia tabora kitamboooo sana, hahahah umekosea mbaya kabisa,nina hakika kama jmosi tukikutana uliposema XL tukasema tujitambulishe tutabakia kufa mbavu, si unajua kamji ketu tena haka, mie mwenyewe nimeanza kukuhisi wewe nani, hahahahha:busu
mkuu kama nakufananisha.........hatujawahi kupigana pale mashujaa kweli.......au vile vita na Naura primary kule mtoni umewahi kushiriki....?...kwanza head teacher wako alikuwa nani...? marehemu Anna Swai au Mrs Mwenera......?