Spy Camera Devices Zinapatikana kwa Bei nafuu

Spy Camera Devices Zinapatikana kwa Bei nafuu

mkuu, kwani hamna vifaa vya kumfatilia mtu ambavyo vina gps/gprs ambavyo unaweza kumfuatilia ama kujua alipo sehem yoyote anayoenda. hasa hizo tracking device ila ziwe ndogo kabisa nimuwekee mwanangu na baadae mama watoto bila ya wao kujua wala kuhisi
 
mkuu, kwani hamna vifaa vya kumfatilia mtu ambavyo vina gps/gprs ambavyo unaweza kumfuatilia ama kujua alipo sehem yoyote anayoenda. hasa hizo tracking device ila ziwe ndogo kabisa nimuwekee mwanangu na baadae mama watoto bila ya wao kujua wala kuhisi

Mkuu tuwasiliane kwa maelekezo zaidi
 
Naweza kupata system ambayo inatumia Internet na nikaaccess videos kutoka sehemu ile camera ilipo kwa kutumia simu yangu muda wowote naoutaka? nikawa naangalia kama tv au youtube ila inakuwa direct muda huo live. au hata kama sio simu iwe hata computer
 
mkuu bei hujashusha tuu? je kufungiwa system yenye camera...4...itagarimu shilingi ngapi?
Bei imeshuka mpaka Tsh 99,000/=
Kufunga system inategemea unahitaji camera 4 visible au invisible. Gharama zinatofautiana. Pia design na vifaa vinavyoweza kutumika. Huwa tunapendekeza tufike sehem husika na tuangalie namna ya kufunga au kukushauri ufunge vipi. ila kama ni vifaa pekee unaweza ukarequest tukakutumia gharama.
 
Bei imeshuka mpaka Tsh 99,000/=
Kufunga system inategemea unahitaji camera 4 visible au invisible. Gharama zinatofautiana. Pia design na vifaa vinavyoweza kutumika. Huwa tunapendekeza tufike sehem husika na tuangalie namna ya kufunga au kukushauri ufunge vipi. ila kama ni vifaa pekee unaweza ukarequest tukakutumia gharama.
NDIO MKUU NAOMBA UNICHANGANULIE...GHARAMA...SYSTEM NZIMA YA HIZO CAMERA NNE..
 
Back
Top Bottom